Wednesday, 11 May 2016

SEMINA ELEKEZI YA KUWAUNGANISHA WANAFUNZI KATIKA FURSA MBALIMBALI ZA AJIRA

Share it Please

Rais wa serikali ya wanafunzi ya chuo cha ustawi wa jamii – ISWOSO Mheshimiwa Hemed Haroub, amewataka wanachuo kuchangamkia fursa mbalimbali za ajira, ambazo zimewafikia katika chuo cha ustawi wa jamii hii leo.

Rais wa serikali ya wanafunzi - ISWOSO Mheshimiwa Hemed Haroub, akitoa hotuba fupi ya ufunguzi wa semina hiyo.




Pichani ni baadhi ya wanachuo walioshiriki kwenye semina hiyo.




NB: KWA HABARI NA PICHA ZAIDI ENDELEA KUTEMBELEA BLOG HII

No comments:

Post a Comment

Followers

Check us on Facebook

Designed By WijasWillie | SharpMedia