Wednesday, 25 November 2015

MKUTANO WA KWANZA WA SERIKALI YA WANAFUNZI ISWOSO

Share it Please
Mkutano wa kwanza wa wanafunzi ISWOSO - STUDENTS GENERAL MEETING  ( SGM), unafanyika leo katika ukumbi wa chuo lengo kuu likiwa ni uzinduzi  wa katiba mpya ya serikali ya wanafunzi, pamoja na mashindano ya kitaaluma. 

Meza kuu

Katibu mkuu ofisi ya Rais - ISWOSO Mh.Victor Mutalemwa akitaka ufafanuzi wa vifungu vilivyoongezwa katika katiba mpya ya serikali ya wanafunzi.



Wanachuo wakifuatilia hotuba ya Rais akiwasilisha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi aliyoiahidi.

No comments:

Post a Comment

Followers

Check us on Facebook

Designed By WijasWillie | SharpMedia