Wednesday, 31 August 2016

Ratiba ya Mitihani ya Sap/ Special examz

Share it Please
 
Wizara ya Elimu ISWOSO inapenda kuwatangazia kuwa 
Mitihani ya special, deffered na supplementary ya muhula Wa pili
inatarajiwa kuanza mnamo 
tarehe 14/9/2016 na kumalizika tarehe 23/9/2016.

Wizara zinapenda kuwakumbusha kujiandaa vyema na 
kuwatakia maandalizi mema kwa wote
wanatarajiwa kufanya mitihani hiyo.
 
 
kwa Taarifa za papo kwa Papo  ndani ya USTAWI basi download APP ya LAA
ndani ya Playstore
 
                          

No comments:

Post a Comment

Followers

Check us on Facebook

Designed By WijasWillie | SharpMedia