Wednesday, 31 August 2016

Ratiba ya Mitihani ya Sap/ Special examz

 
Wizara ya Elimu ISWOSO inapenda kuwatangazia kuwa 
Mitihani ya special, deffered na supplementary ya muhula Wa pili
inatarajiwa kuanza mnamo 
tarehe 14/9/2016 na kumalizika tarehe 23/9/2016.

Wizara zinapenda kuwakumbusha kujiandaa vyema na 
kuwatakia maandalizi mema kwa wote
wanatarajiwa kufanya mitihani hiyo.
 
 
kwa Taarifa za papo kwa Papo  ndani ya USTAWI basi download APP ya LAA
ndani ya Playstore
 
                          
Continue Reading...

Tambua haki yako ya kuappeal..

 


WIZARA YA ELIMU KWA KUSHIRIKIANA NA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA.

Inapenda kuwakumbusha wale wote  waliokwisha pata matokeo yao ya muhula Wa pili Wa masomo na wana uhitaji kwa kukata rufaa ,Kwamba kwa mujibu Wa prospectus 2015/16 Almanac ya Taaluma mwaka 2015/16  rufaa zote kuhusiana na matokeo ya mtihani zitapokelewa katika ofisi ya makamu mkuu Wa chuo ,Taaluma,utafiti na ushauri Wa kitaaluma kuanzia tarehe 30/8/2016 hadi tarehe 2/9/2016, gharama ni  shilingi elfu arobaini(40,000) kwa kila somo litakalo katiwa rufaa.

NB:Rufaa zote zitakazowasilishwa  nje ya muda hazitasikilizwa hivyo ni muhimu na Lazima kuwasilisha ndani ya Muda stahiki.

Kwa mawasiliano zaidi;
Waziri Wa Elimu               0715370377
Waziri katiba na sheria      0718535614
Naibu waziri elimu            0767561466
Naibu waziri Elimu            0659187166
Naibu waziri katiba na sheria-0712527041
Continue Reading...

Followers

Check us on Facebook

Designed By WijasWillie | SharpMedia