Wednesday, 30 November 2016

Mkutano Mkuu wa Wanafunzi Tarehe 30 Nov 2016 Ulikua Hivi

Share it Please
Mhe Erasto Nassary
Waziri Ofisi ya Rais Usalama na Itifaki
Muda wa Kuingia kwa Mhe Rais, Makamu wa Rais Pamoja na Waziri Mkuu

 Kutoka Kushoto ni Waziri Wa Elimu Mhe Fadhili, akiteta jambo na Mhe Hellen (Makamu wa Rais) kabla ya Mkutano Kuanza Kuanzia hapo Kilia ni Mhe Rais Mhe Yohana Mabena na mwisho kulia ni Waziri Mkuu Mhe Godfrey
 Baadhi ya Wajumbe (wanafunzi) wakisikiliza

 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Moses Mvuoni akidadavua kitu kuhusiana na Katiba
 Makamu wa Rais Akiongea machache


 Wanafunzi walijaa hadi wengine Kusimama

 Mhe Rais Akitoa Hotuba Yake

 Maswali yaliulizwa 


 Mhe Nassoro Mbunge BHRM2A

Hakika Umakini na Usikivu ulitawala



Karibuni katika SGM nyingine imeletwa kwako na Wizara ya Habari

No comments:

Post a Comment

Followers

Check us on Facebook

Designed By WijasWillie | SharpMedia